Social Icons

Pages

Sunday, 2 February 2014

JUVE POINTI 9 MBELE, YAICHAPA INTER MILAN 3-1

JUVE_UBINGWAMABINGWA na Vinara wa Serie A huko Italy, Juventus, Jana Usiku wamepaa na kuwa Pointi 9 mbele baada ya kuwapa Inter Milan kipigo cha Bao 3-0 kwenye Mechi ya Ligi iliyochezwa Juventus Stadium.
Pengo hilo la Juve limekuwa kubwa kufuatia ushindi huo na hasa baada ya Timu ya Pili, AS Roma, kushindwa kumaliza Mechi yao hiyo Jana na Parma baada Mechi kuvunjwa katika Dakika ya 8 kufuatia Uwanja kujaa maji baada Mvua kubwa na pia Timu ya Tatu, Napoli kubamizwa Bao 3-0 na Atalanta mapema Jana.
Bao za Juve zilifungwa na Stephan Lichtsteiner, Giorgio Chiellini na Arturo Vidal huku Inter Milan wakipata Bao lao kupitia Rolando.

MSIMAMO-Timu za Juu:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Juventus FC
22
19
2
1
54
16
38
59
2
AS Roma
21
15
5
1
45
11
34
50
3
SSC Napoli
22
13
5
4
44
26
18
44
4
ACF Fiorentina
22
12
5
5
40
24
16
41
5
Hellas Verona
22
11
2
9
37
35
2
35
6
Inter Milan
22
8
9
5
39
27
12
33
7
Torino FC
22
8
9
5
35
28
7
33
8
Parma FC
21
8
8
5
32
27
5
32
9
SS Lazio
22
8
7
7
29
29
0
31
10
AC Milan
22
7
8
7
35
32
3
29
11
Genoa CFC
21
7
6
8
23
27
-4
27
 
FULU VIWANJA