>>LLORENTE, TEVEZ WATIKISA KAMBA!!
BAO 2 za Fernando Llorente na Carlos Alberto Tevez leo zimewapa Mabingwa wa Italy Juventus
ushindi
wa Bao 2-0 katika Mechi ya Ligi Serie walipoichapa AS Livorno Calcio
kwenye Stadio Armando Picchi na kukaa kileleni mwa Ligi ,.hiyo.
ushindi
wa Bao 2-0 katika Mechi ya Ligi Serie walipoichapa AS Livorno Calcio
kwenye Stadio Armando Picchi na kukaa kileleni mwa Ligi ,.hiyo.
MSIMAMO-Timu za Juu:
|
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
|
2 |
Juventus |
13 |
11 |
1 |
1 |
28 |
10 |
18 |
34 |
|
1 |
AS Roma |
12 |
10 |
2 |
0 |
26 |
3 |
23 |
32 |
|
3 |
SSC Napoli |
13 |
9 |
1 |
3 |
24 |
12 |
12 |
28 |
|
4 |
Inter Milan |
12 |
7 |
4 |
1 |
29 |
12 |
17 |
25 |
|
5 |
Fiorentina |
13 |
7 |
3 |
3 |
24 |
15 |
9 |
24 |
|
6 |
Hellas Verona |
13 |
7 |
1 |
5 |
22 |
20 |
2 |
22 |
Juve sasa wanaongoza kwa kuwa na Pointi
34 kwa Mechi 13 na wanafuatia AS Roma wenye Pointi 32 kwa Mechi 12 na
ambao watacheza Mechi yao ya mkononi wakiwa Nyumbani Jumatatu Usiku
dhidi ya Cagliari.