Social Icons

Pages

Wednesday, 25 March 2015

NGASSA KUANZA LEO YANGA IKIKIPIGA DHIDI YA JKT RUVU



Mrisho Ngassa atakuwa kati ya wachezaji watakaoanza katika kikosi cha kwanza leo wakati Yanga ikiivaaa JKT Ruvu.


Habari za uhakika kutoka ndani ya Yanga zimeeleza kocha Hans van der Pluijm amempanga Ngassa baada ya kuhakikishiwa na daktari, kwamba anaweza kucheza.

Jana, kulikuwa na hatihati Ngassa angeweza kuikosa mechi hiyo na leo asubuhi alisema bado anajisikilizia.


Lakini taarifa hizo zimesema Ngassa ataanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Kulikuwa na hofu, huenda Ngassa asianze mechi hiyo kutokana na kuwa majeruhi.
 
FULU VIWANJA