Social Icons

Pages

Wednesday, 28 January 2015

JUVENTUS WATINGA ROBO FAINALI YA COPPA DE ITALIAN

BAO la Dakika ya 89 la Alvaro
Morata limewapa Mabingwa
wa Italy Juventus ushindi wa
Bao 1 - 0 dhidi ya Parma
kwenye Mechi ya Robo Fainali
ya Coppa Italiana iliyochezwa
Stadio Tardini hapo Jana.

Kwenye Nusu Fainali, Juventus
watacheza na Mshindi kati ya
A SRroma na Fiorentina.

Mechi nyingine za Robo Fainali
zitapigwa Februari 3 kati ya AS
Roma na ACF Fiorentina na
Siku inayofuatia , ndani Stadio
San Paolo, Wenyeji SSC Napoli ,
ambao ndio Mabingwa
Watetezi wa Kombe hili ,
watakuwa kwao kucheza na
Inter Milan.

Kila Tmu tayari inajua nani
anaweza kuwa Mpinzani wake
endapo watafuzu kuingia Nusu
Fainali

 
FULU VIWANJA