Social Icons

Pages

Saturday, 17 January 2015

CHELSEA YAENDELEA KUPAA,MAN NAYO YAPETA

SWANSEA 0 CHELSEA 5

Chelsea, wakicheza Ugenini,
wamepaa kileleni mwa Ligi Kuu
England wakiwa Pointi 5 mbele
ya Mabingwa Watetezi Man
City baada ya kuitandika
Swansea City Bao 5 -0 .

Chelsea walipata Bao lao la
kwanza Sekunde 50 tu tangu
Gemu ianze kupitia Oscar,
kisha Diego Costa akapiga Bao
2 na Oscar kuongeza jingine na
kuifanya Chelsea iwe 4 -0 hadi
Mapumziko.

Kipindi cha Pili , Andre Schurrle
akaipa Chelsea Bao la 5
kuiacha Swansea wawe bila
ushindi katika Mechi zao 4 za

QPR 0 MAN UNITED 2

Bao 2 za Kipindi cha Pili za
Marouane Fellaini na James
Wilson zimewapa ushindi wa
Bao 2 - 0 Manchester United
waliocheza Ugenini Loftus
Road na QPR.

Ushindi huu umeifanya Man
United warudi Nafasi ya 3 na
kuitambuka Southampton
ambao baadae Leo wako
Ugenini kucheza na Newcastle .

 
FULU VIWANJA