Social Icons

Pages

Tuesday, 26 August 2014

MAN CITY YAWAFUNZA ADABU LIVERPOOL HAPO JANA



Manchester City imepata ushindi wa mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool.

Ikiwa nyumbani, City imefanikiwa kushinda kwa mabao hayo yaliyofungwa na Jovetic (mawili) na Sergio Aguero aliyehitimisha la tatu wakati Lambert alifunga moja kwa LIverpool.KWA HABARI ZAIDI INGIA NDANI...................

Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Demichelis, Clichy, Toure, Fernando, Silva, Nasri, Jovetic, Dzeko.
Subs: Sagna, Milner, Kolarov, Caballero, Jesus Navas, Aguero, Fernandinho.
Liverpool: Mignolet, Johnson, Skrtel, Lovren, Moreno, Henderson, Gerrard, Allen, Coutinho, Sturridge, Sterling.
Subs: Brad Jones, Toure, Lambert, Sakho, Manquillo, Can, Markovic.
Referee: Michael Oliver (Northumberland).







 
FULU VIWANJA