Mechi za Marudiano za Raundi ya Pili ya Mtoano za UEFA CHAMPIONZ LIGI zitachezwa Leo hii Jumanne na Kesho Jumatano.
Washindi
wa Raundi hii tayari wanajua nani Wapinzani wao wa Raundi ya Tatu ya
Mtoano baada ya UEFA kufanya Droo yake Ijumaa iliyopita.
Washindi wa Raundi ya Tatu ya Mtoano watasonga Raundi ya Mwisho ya Mtoano ambayo ndio hatua ya mwisho kabla Mechi za Makundi kuanza.
Raundi ya Tatu ya Mtoano imepangwa kwenye Makundi mawili, yale ya Njia ya Mabingwa na jingine Njia ya Ligi, ambapo wale Washindi 10 wa Njia ya Mabingwa watapambanishwa wenyewe kwa wenyewe kwenye Raundi ya Mwisho ya Mtoano wakati wale Washindi Watano wa Njia ya Ligi watapangwa na Timu 5 zinazoanzia Raundi hiyo ambazo ni Arsenal FC, FC Porto, Bayer 04 Leverkusen, SSC Napoli and Athletic Club.
Washindi 10 wa Raundi ya Mwisho ya Mtoano watajumuika na Klabu 22 zilizoingizwa moja kwa moja, wakiwemo Mabingwa Real Madrid, kwenye Droo ya kupanga Makundi 8 ya Timu 4 kila moja.
UEFA CHAMIPONZ LIGI
Raundi ya Pili ya Mtoano
RATIBA
**Saa za Bongo
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza
Jumanne Julai 22
1830 Sutjeska Niksic V Sheriff Tiraspol (0-2)
1900 F91 Dudelange V Ludogorets Razgrad (0-4)
1900 Levadia V Sparta Prague (0-7)
1930 FK Qarabag V Valletta FC (1-0)
2030 Maccabi Tel Aviv V FC Santa Coloma (1-0)
2045 The New Saints V Slovan Bratislava (0-1)
2100 HB Tórshavn V Partizan Belgrade (0-3)
2100 Skënderbeu Korcë V BATE Borisov
2115 Zalgiris V Dinamo Zagreb (0-2)
2130 Debrecen V Cliftonville
2145 Celtic V KR Reykjavík (1-0)
Celtic Vs KR Reykjavík
Jumatano Julai 23
1800 Aktobe V Dinamo Tbilisi (1-0)
1900 HJK Helsinki V Rabotnicki (0-0)
1900 Ventspils V Malmö FF (0-0)
2030 Steaua Bucharest V Strømsgodset (1-0)
2100 NK Maribor V Zrinjski Mostar (0-0)
2145 St Patrick's Athletic V Legia Warsaw (1-1)
UEFA CHAMPIONZ LIGI
Raundi ya Tatu ya Mtoano
(Mechi kuchezwa 29/30 Julai na Marudiano ni 5/6 Agosti)
Njia ya Mabingwa
Valletta FC (MLT)/Qarabağ FK (AZE) v FC Salzburg (AUT)
Cliftonville FC (NIR)/Debreceni VSC (HUN) v FC BATE Borisov (BLR)/KS Skënderbeu (ALB)
ŠK Slovan Bratislava (SVK)/The New Saints FC (WAL) v FC Sheriff (MDA)/FK Sutjeska (MNE)
Aalborg BK (DEN) v GNK Dinamo Zagreb (CRO)/VMFD Žalgiris (LTU)
Legia Warszawa (POL)/Saint Patrick's Athletic (IRL) v KR Reykjavík (ISL)/Celtic FC (SCO)
FC Dinamo Tbilisi (GEO)/FK Aktobe (KAZ) v Strømsgodset IF (NOR)/FC Steaua Bucureşti (ROU)
HŠK Zrinjski (BIH)/NK Maribor (SVN) v FC Santa Coloma (AND)/ Maccabi Tel-Aviv FC (ISR)
FK Rabotnicki (MKD)/HJK Helsinki (FIN) v APOEL FC (CYP)
AC Sparta Praha (CZE)/FC Levadia Tallinn (EST) v Malmö FF (SWE)/FK Ventspils (LVA)
PFC Ludogorets Razgrad (BUL)/F91 Dudelange (LUX) v FK Partizan (SRB)/HB Tórshavn (FRO)
Njia ya Ligi
AEL Limassol FC (CYP) v FC Zenit (RUS)
FC Dnipro Dnipropetrovsk (UKR) v FC København (DEN)
Feyenoord (NED) v Beşiktaş JK (TUR)
Grasshopper Club (SUI) v LOSC Lille (FRA)
R. Standard de Liège (BEL) v Panathinaikos FC (GRE)
**TIMU 13 ZITAKAZOINGIA MOJA KWA MOJA RAUNDI YA TATU YA MTOANO:
-APOEL
-Red Bul Salzburg
-Aab
-Zenit Saint Petersburg
-Lille
-Copenhagen
-Standard Liège
-Beşiktaş
-Dnipro Dnipropetrovsk
-Panathinaikos
-Feyenoord
-Grasshoppers
-AEL Limassol

Washindi wa Raundi ya Tatu ya Mtoano watasonga Raundi ya Mwisho ya Mtoano ambayo ndio hatua ya mwisho kabla Mechi za Makundi kuanza.
Raundi ya Tatu ya Mtoano imepangwa kwenye Makundi mawili, yale ya Njia ya Mabingwa na jingine Njia ya Ligi, ambapo wale Washindi 10 wa Njia ya Mabingwa watapambanishwa wenyewe kwa wenyewe kwenye Raundi ya Mwisho ya Mtoano wakati wale Washindi Watano wa Njia ya Ligi watapangwa na Timu 5 zinazoanzia Raundi hiyo ambazo ni Arsenal FC, FC Porto, Bayer 04 Leverkusen, SSC Napoli and Athletic Club.
Washindi 10 wa Raundi ya Mwisho ya Mtoano watajumuika na Klabu 22 zilizoingizwa moja kwa moja, wakiwemo Mabingwa Real Madrid, kwenye Droo ya kupanga Makundi 8 ya Timu 4 kila moja.
UEFA CHAMIPONZ LIGI
Raundi ya Pili ya Mtoano
RATIBA
**Saa za Bongo
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza
Jumanne Julai 22
1830 Sutjeska Niksic V Sheriff Tiraspol (0-2)
1900 F91 Dudelange V Ludogorets Razgrad (0-4)
1900 Levadia V Sparta Prague (0-7)
1930 FK Qarabag V Valletta FC (1-0)
2030 Maccabi Tel Aviv V FC Santa Coloma (1-0)
2045 The New Saints V Slovan Bratislava (0-1)
2100 HB Tórshavn V Partizan Belgrade (0-3)
2100 Skënderbeu Korcë V BATE Borisov
2115 Zalgiris V Dinamo Zagreb (0-2)
2130 Debrecen V Cliftonville
2145 Celtic V KR Reykjavík (1-0)
Celtic Vs KR Reykjavík
Jumatano Julai 23
1800 Aktobe V Dinamo Tbilisi (1-0)
1900 HJK Helsinki V Rabotnicki (0-0)
1900 Ventspils V Malmö FF (0-0)
2030 Steaua Bucharest V Strømsgodset (1-0)
2100 NK Maribor V Zrinjski Mostar (0-0)
2145 St Patrick's Athletic V Legia Warsaw (1-1)
UEFA CHAMPIONZ LIGI
Raundi ya Tatu ya Mtoano
(Mechi kuchezwa 29/30 Julai na Marudiano ni 5/6 Agosti)
Njia ya Mabingwa
Valletta FC (MLT)/Qarabağ FK (AZE) v FC Salzburg (AUT)
Cliftonville FC (NIR)/Debreceni VSC (HUN) v FC BATE Borisov (BLR)/KS Skënderbeu (ALB)
ŠK Slovan Bratislava (SVK)/The New Saints FC (WAL) v FC Sheriff (MDA)/FK Sutjeska (MNE)
Aalborg BK (DEN) v GNK Dinamo Zagreb (CRO)/VMFD Žalgiris (LTU)
Legia Warszawa (POL)/Saint Patrick's Athletic (IRL) v KR Reykjavík (ISL)/Celtic FC (SCO)
FC Dinamo Tbilisi (GEO)/FK Aktobe (KAZ) v Strømsgodset IF (NOR)/FC Steaua Bucureşti (ROU)
HŠK Zrinjski (BIH)/NK Maribor (SVN) v FC Santa Coloma (AND)/ Maccabi Tel-Aviv FC (ISR)
FK Rabotnicki (MKD)/HJK Helsinki (FIN) v APOEL FC (CYP)
AC Sparta Praha (CZE)/FC Levadia Tallinn (EST) v Malmö FF (SWE)/FK Ventspils (LVA)
PFC Ludogorets Razgrad (BUL)/F91 Dudelange (LUX) v FK Partizan (SRB)/HB Tórshavn (FRO)
Njia ya Ligi
AEL Limassol FC (CYP) v FC Zenit (RUS)
FC Dnipro Dnipropetrovsk (UKR) v FC København (DEN)
Feyenoord (NED) v Beşiktaş JK (TUR)
Grasshopper Club (SUI) v LOSC Lille (FRA)
R. Standard de Liège (BEL) v Panathinaikos FC (GRE)
**TIMU 13 ZITAKAZOINGIA MOJA KWA MOJA RAUNDI YA TATU YA MTOANO:
-APOEL
-Red Bul Salzburg
-Aab
-Zenit Saint Petersburg
-Lille
-Copenhagen
-Standard Liège
-Beşiktaş
-Dnipro Dnipropetrovsk
-Panathinaikos
-Feyenoord
-Grasshoppers
-AEL Limassol