RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 15
Rhino Rangers 1 Mgambo JKT 1
Ashanti United 0 Kagera Sugar 0
Mtibwa Sugar 0 Tanzania Prisons 1
JKT Oljoro 0 JKT Ruvu 0
Mbeya City 1 Simba 1
Ruvu Shooting 1 Coastal Union 0
UWANJA wa Sokoine huko Jijini Mbeya, Leo ulikuwa patashika wakati Mbeya City na Simba zilipokutana na
kutoka Sare ya Bao 1-1 ambayo imeibakisha kila Timu nafasi yake ile ile kwenye Msimamo wa VPL, Ligi Kuu Vodacom.
kutoka Sare ya Bao 1-1 ambayo imeibakisha kila Timu nafasi yake ile ile kwenye Msimamo wa VPL, Ligi Kuu Vodacom.
Mbeya City walitangulia kupata Bao
katika Dakika ya 14 kwa Penati ya Deogratius Julius na Amisi Tambwe
kuisawazishia Simba katika Dakika ya 50.
Simba na Mbeya City sasa zimecheza Mechi
mbili zaidi ya Vinara Azam FC, wenye Pointi 36, na Timu ya Pili Yanga,
wenye Pointi 35, lakini wamebaki nyuma yao kwa Mbeya City kubaki Nafasi
ya Tatu wakiwa Pointi sawa na Yanga lakini wana ubora wa Magoli hafifu
huku Simba ikishika Nafasi ya 4 wakiwa Pointi 3 nyuma ya Mbeya City.
MSIMAMO:
|
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
PTS
|
|
1
|
Azam FC
|
16
|
10
|
6
|
0
|
19
|
36
|
|
2
|
Yanga SC
|
16
|
10
|
5
|
1
|
22
|
35
|
|
3
|
Mbeya City
|
18
|
9
|
8
|
1
|
10
|
35
|
|
4
|
Simba SC
|
18
|
8
|
8
|
2
|
17
|
32
|
|
5
|
Ruvu Shooting
|
17
|
6
|
7
|
4
|
3
|
25
|
|
6
|
Kagera Sugar
|
18
|
5
|
8
|
5
|
0
|
23
|
|
7
|
Coastal Union
|
18
|
4
|
10
|
4
|
3
|
22
|
|
8
|
Mtibwa Sugar
|
18
|
5
|
7
|
6
|
-1
|
22
|
|
9
|
JKT Ruvu
|
17
|
6
|
1
|
10
|
-8
|
19
|
|
10
|
Ashanti United
|
17
|
3
|
5
|
9
|
-14
|
14
|
|
11
|
JKT Oljoro
|
18
|
2
|
8
|
8
|
-14
|
14
|
|
11
|
Mgambo
|
18
|
3
|
5
|
10
|
-18
|
14
|
|
14
|
Prisons FC
|
15
|
2
|
7
|
6
|
-9
|
13
|
|
12
|
Rhino Rangers
|
18 |
3 |
6 |
9 |
-10 |
13 |