Social Icons

Pages

Friday, 10 January 2014

BEKI WA LIVERPOOLDANIEL AGGER NJE MWEZI

Sentahafu wa Liverpool Daniel Agger amethibitisha kuwa atakuwa nje ya Uwanja kwa Mwezi mmoja kutokana na maumivu ya Mguu.
Agger, ambae ni Mchezaji wa Kimataifa wa Denmark, aliumia kwenye Dakika za mwisho za Mechi ya FA CUP walipoifunga Oldham Bao 2-0.
Kuumia kwa Agger ni pigo kwa Meneja Brendan Rodgers ambae huenda pia akamkosa Beki Mamadou Sakho anaejiuguza tatizo la Musuli za Pajani.
 
FULU VIWANJA