AS
Roma bado ni Timu pekee huko Serie A Nchini Italy ambayo haijafungwa
hata Mechi moja na Jana ilitoka Sare ya Bao 2-2 na AC Milan Uwanjani San
Siro na Droo hii imewafanya wabaki Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 5 nyuma
ya Vinara Juventus.
Destro ndie aliewapa AS Roma Bao katika
Dakika ya 13 na Zapata kuisawashia AC Milan kwenye Dakika ya 30 lakini
Penati ya Kevin Strootman ya Dakika ya 52 iliwapa uongozi AS Roma.
Kiungo wa Ghana, Sully Muntari, ndie aliekuwa Shujaa wa San Siro baada ya kuisawazishia AC Milan kwenye Dakika ya 76.
|
SERIE A: MSIMAMO-Timu za Juu |
|||||||||
|
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
|
1 |
Juventus FC |
16 |
14 |
1 |
1 |
35 |
10 |
25 |
43 |
|
2 |
AS Roma |
16 |
11 |
5 |
0 |
31 |
7 |
24 |
38 |
|
3 |
SSC Napoli |
16 |
11 |
2 |
3 |
35 |
19 |
16 |
35 |
|
4 |
ACF Fiorentina |
16 |
9 |
3 |
4 |
32 |
20 |
12 |
30 |
|
5 |
Inter Milan |
16 |
7 |
7 |
2 |
36 |
21 |
15 |
28 |
|
6 |
Hellas Verona |
16 |
8 |
2 |
6 |
27 |
25 |
2 |
26 |
Kwenye Mechi hii, Mario Balotelli
aling’ara sana na kwenye Dakika za majeruhi nusura aipatia AC Milan Bao
la ushindi lakini shuti lake lilikwenda kidogo nje.