Social Icons

Pages

Monday, 23 December 2013

ALEX MSAMA AKABIDHI ZAWADI YA VYAKULA KWA VITUO MBALIMBALI VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM

1aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akikabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali kwa Halima Mpeta wa kituo cha Mwandaliwa  cha Boko kwa ajili ya sikukuu ya Krismas, Msama amesema kama ilivyo kawaida ya kampuni hiyo imeamua kutoa kiasi fulani cha mapato yake ya tamasha hilo na kununua vyakula kwa ajili ya kuwapa zawadi watoto yatimu ili na wao washerehekee sikukuu ya Krismas vizuri kama wenzao, vituo vilivyopata zawadi hiyo ya vyakula leo ni Honorata Temeke, Mwandaliwa Boko, Malaika Kinondoni, Yatima Group Trust Fund ya Chamazi na Mahabusu ya watoto Upanga vyote vya jijini Dar es salaam, Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za kampuni hiyo Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam. 2aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akikabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali kwa Mwanaidi Ramadhan wa kituo cha yatima Malaika cha Konondoni. 3aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akikabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali kwa Alex Mulumba wa kutuo cha  Honorata Temeke  4aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akikabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali kwa Haruna Mtandika wa kituo cha Yatima Group cha Chamazi wilayani Temeke. 5aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akikabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali kwa Ramadhan Yahya wa  Mahabusu ya watoto Upanga. 6aMkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari mara baada ya  kukabidhi zawadi ya vyakula mbalimbali.
 
FULU VIWANJA