Kocha
wa klabu ya soka ya man.city Manuel pellegrin amesema kipa namba moja wa
England na wa klabu hiyo joe hart anaitajika apumzikea katika baadhi ya mechi.
Hii
imetokea baada ya matokeo ya mechi za nyuma na kumpelekea kocha huyu mwenye asili ya chile kumpanga kipa nam,ba
mbili wa klabu hiyo Costel pantilimon katika mechi ya jana ambayo walishinda
goli 7-0 dhidi ya Norwich city.
Vilevile
kocha huyo alisema hart anatakiwa kumpumzika kutokana ameitumikia klabu hiyo
kwa miaka miwili katika lango kwahiyo wakati mwingine kipa anatakiwa apumzike
“my
duty is to see every week who is the best player to play”
“joe
need a rest it will be usefull for him he s played every match for two years
,every player can have a bad moment
alisema mchile Manuel pellegrin.