Social Icons

Pages

Friday, 1 November 2013

KUELEKEA JANUARY KWENYE DIRISHA LA USAJILI .HIZI NI TETESI




TETESI ZA MITANDAO BARANI ULAYA ZA
·      WACHEZAJI NA MAKOCHA.mtandao wa humburger morngenpost .unasema mchezaji wa zamani wa timu ya ujerumani matthaus yuko njiani kupata kibarua cha kuinoa klabu ya hamburg.
Mtandao mwingine wa woslfburger allgemeine vinara wa ligi ya ujerumani Bayern munich wanamtaka kinda la Wolfsburg Julian brandt.kinda huyu mwenye umri wa miaka 17 tayari anacheza katika kikosi cha umri wa miaka 20 cha Wolfsburg lakini baba mzazi wa kinda huyu na ambaye ndiye wakala wake amesema wameshakubaliana kwamba brandt ataondoka wolfsburg
Nao mtandao wa ,le 10 sport.uliripoti kwamba baada ya kushindwa kumchukua katika dirisha la kiangazi  juan mata  klabu ya psg inatazamia kwenye dirisha la usjili januari na rais wa matajiri hawa.nasser al-khelaif amepanga kufanya mazungumzo na klabu ya chelsea.Nayo klabu ya monaco imetenga kiasi cha euro 40 m. kwa ajili ya winga mwingereza anayekipiga katika klabu ya arsenali
 
FULU VIWANJA