Social Icons

Pages

Wednesday, 10 January 2018

SERENGETI YAINGIA MKATABA MWINGINE NA TFF, SASA NI KUDHAMINI LIGI YA WANAWAKE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF)  na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Leo Jumatano Januari 10,2018 wamesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuidhamini Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) kupitia Bia ya Serengeti Lite  mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 450.
 
FULU VIWANJA