Social Icons

Pages

Saturday, 26 March 2016

AI ULISHANGAA ILE YA STARS, ALGERIA YARUDIA TENA, YAITWANGA ETHIOPIA 7-1


Algeria imeonyesha in uwezo wakushinda kwa kishindo baada ya kuichapa Ethiopia kwa mabao 7-1 katika mechi ya kuwania kufuzu kucheza Afcon.

Ikiongozwa na Riyad Mahrez, Algeria iliizidi kila kitu Ethiopia iliyokuwa ugenini na kuibuka na ushindi huo wa mabao 7-1.

Kama unakumbuka, Algeria iliwahi kutoa kipigo kikali cha mabao saba kwa Taifa Stars.






 
FULU VIWANJA