
Hii ni nafasi murua kwa Juve kutwaa Dabo Msimu huu kwani kwenye Ligi Serie A wao ndio Vinara wakiwa Pointi 14 mbele.
Bao za Juve, ambao walifungwa 2-1 katika Mechi ya kwanza zilifungwa na Alessandro Matri, Roberto Pereyra na Leonardo Bonucci.
VIKOSI:
Fiorentina (Mfumo 3-5-2): Neto; Stefan Savic; Gonzalo Rodríguez, José María Basanta; Joaquín, Mati Fernandez, Alberto Aquilani, Borja Valero, Marcos Alonso; Mario Gomez, Mo Salah.
Juventus (Mfumo 4-3-1-2): Marco Storari; Simone Padoin, Leonardo Bonucci, Giorgio Chiellini, Patrice Evra; Arturo Vidal, Claudio Marchisio, Stefano Sturaro; Roberto Pereyra; Alessandro Matri, Álvaro Morata.
Coppa Italia