Social Icons

Pages

Monday, 16 December 2013

VIPIGO VYA FANYA AVB KUTIMULIWA NDANI YA SPURS




Kocha Andre Villa Boas ametimuliwa kazi ya kuinoa Tottengam Hotspur.



Kocha huyo raia wa Ureno ametimuliwa baada ya timu yake kupokea kipigo cha mabao 5-0.

Timu hiyo imekuwa na mwenendo wa ovyo ikiwa chini ya kocha huyo.

Pamoja na timu hiyo kufanya usajili uliogharimu mamilioni ya fedha, lakini haikuwa kali kama wengi walivyotarajia.
 
FULU VIWANJA