Social Icons

Pages

Friday, 27 December 2013

Brendan Rogers wa Liverpool yuko mikononi mwa sheria za FA unajua kwanini

66666666607 AU 0717166607



Rodgers wa pili kulia akiwaita waamuzi 'horrendous' katika mkutano wa waandishi wa habari baada ya mchezo
Meneja wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers huenda akakumbana na adhabu ya chama cha soka nchini England FA baada ya kuwabwatukia waamuzi wa mchezo waliopokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Manchester City cha mabao 2-1 mchezo uliochezwa uwanja wa Etihad.

 

Rodgers alilalamikia kiwango cha uwamuzi cha waamuzi Lee Mason na wasaidizi wake John Brooks na Derek Eaton na kukiita kwa lugha ya kingereza kama 'horrendous' ( cha kutisha na kisichofaa) ambapo FA imeahidi kufuatilia maoni ya Rogers yenye maamuzi ya upendelea kwa umakini nan uzito unaostahili huku bosi huyo wa Liverpool akionekana kushangazwa na maamuzi ya uteuzi wa kocha kutoka Greater Manchester kuteuliwa kuchezesha pambano hilo katika dimba la Etihad.

 

Rodgers alikasirishwa na maamuzi ya 'offside' iliyofanywa na mchezaji wake Raheem Sterling pamoja na timu yake kunyimwa penati kufuatia mshambuliaji wake Luis Suarez kuvutwa na kudondoka chini katika dakika za kuelekea kumalizika kwa mchezo huo
Angry: Brendan Rodgers was furious with the officials as Liverpool lost 2-1 to Manchester City
Brendan Rodgers akionyesha hasira kwa waamuzi katika mchezo wa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Manchester City
Ref rage: Jordan Henderson (right) rages at the officials as Lee Mason (second right) tells him to be quiet
Jordan Henderson (kulia) akipambana na mwamuzi Lee Mason (wapili kulia) ambaye alikuwa akimtuliza kwa kumwambia 'quiet'




Face like thunder: The Liverpool boss questioned why a referee from Greater Manchester was appointed
Sura ya radi: Bosi wa Liverpool alihoji kwanini mwamuzi kutoka 'Greater Manchester' aliteuliwa na kwamba Liverpool ilikosa msaada kabisa kutoka kwa mwamuzi Mason






Kumbukumbu za mwamuzi Lee Mason zinaonyesha kuwa alisha chezesha michezo mingine ya City kama ifuatavyo

21/04/2013
Tottenham 3-1 Man City - Premier League
11/03/2012
Swansea 1-0 Man City - Premier League
11/01/2012
Man City 0-1 Liverpool - Capital One Cup
26/12/2011
West Brom 0-0 Man City - Premier League



Meneja wa Liverpool amekaririwa akisema 

'Nilikuwa najivunia vijana wangu ambao walikuwa wako vizuri, nadhani tulikosa msaada kabisa kutoka kwa waamuzi wa mchezo. Sijawahi kugombana na lakini leo walikuwa wanatisha katika kiwango chao cha uchezeshaji wao.

Hatukuwa na kitu kilichokuwa sawa kwa upande wetu kabisa .



'I thought that the linesman on the offside one - they weren't even on the same cut of grass, and if you're working at this level, you have to get that right. It's not even a difficult one, that.

'These are the things we work on and talk about, we are asking a young player to try and break their line. It was a perfect timed run and he's given offside when he's through one-on-one on goal.

'There was another incident in the second half when Luis Suarez didn't get a free kick on the edge of the penalty box when Joleon Lescott comes right through him.
'That was waved play on. It is arguable that there was a penalty at the end. Luis Suarez can't jump because he's tugging at his shirtwww.fulu viwanja blogspot.com
 
FULU VIWANJA