Social Icons

Pages

Saturday, 2 November 2013

CHELSEA YASHINDWA KUTAMBA YAFUNGWA NA NEWCASTLE

JOSE MOURINHO NAYE AKISEMA HAYA
Jose Mourinho amesema kiwango kibovu cha timu yake ndiyo sababu ya kupoteza mchezo wa leo dhidi ya Newcastle na kwamba walistahili kupoteza mchezo huo.
Blues waliharibikiwa kabisa kwa magoli ya dakika za majeruhi kutoka kwa Yoan Gouffran na Loic Remy na kumaliza safari yao ya michezo mitano bila kupoteza.
Hata hivyo akiongea baada ya mchezo , Mourinho amesema kikosi chake kilistahili nkupoteza mchezo huo.



Chelsea ilipata nafasi nyingi katika kipindi cha kwanza lakini umaliziaji ulikuwa mbovu.
 
FULU VIWANJA