Social Icons

Pages

Wednesday, 30 March 2016

Rwanda yaichapa Mauritius mechi ya Afcon

Mechi za kuwania kucheza fainali za Mataifa Afrika nchini Gabon mwaka 2017 zimepigwa jana katika hatua ya makundi.
Malawi wakicheza nyumbani dhidi ya Guinea imechapwa bao 3-1, Togo na Tunisia sare 0-0, Rwanda imeichakaza Mauritius 5-0.
Misri imeifunga Nigeria bao 1-0, DR Congo imeicha Angola 2-0, Ethiopia imetoka sare na Algeria 3-3, Liberia imefumua Djibout 5-0.
Na huko Uganda Burkina Faso imelazimisha sare tasa (0-0) Uganda katika mechi iliyochezwa uwanja wa Mandela mjini Kampala.
 
FULU VIWANJA