Social Icons

Pages

Saturday, 4 October 2014

LIVERPOOL YASHIKA KASI TENA YAIPIGA WESTBROM 2-1

article-2780469-21F1C71800000578-729_964x386
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabaya katika ligi kuu ya England na katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya, washindi wa pili wa ligi EPL msimu uliopita klabu ya liverpool leo walitupa karata yao dhidi ya West Bromwich Albion.
Huku kocha Brandan Rogers akianza kwa kumpiga benchi Mario Balotelli na kumpa nafasi mshambuliaji Rickie Lambert – mabadiliko ambayo yalileta utofauti kidogo kwa Liverpool.
Adam Lallana, ambaye alisajiliwa kutokea Southampton akafunga goli lake la kwanza akiwa na jezi ya Liverpool katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza.
Westbrom wakafanikiwa kusawazisha kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 56, kabla ya dakika 5 baadae Jordan Henderson kuifungia lIverpool goli la ushindi.
Mpaka mwamuzi Michael Oliver alipopuliza kipenga cha mwisho Liverpool walikuwa wameshinda 2-1.
VIKOSI
Liverpool (4-2-3-1):   Mignolet 6.5; Manquillo 5.5 (Johnson 64 6), Skrtel 5.5, Lovren 6, Moreno 6; Gerrard 6; Sterling 6, Henderson 7.5, Coutinho 6 (Lucas 75), Lallana 7; Lambert 5.5 (Balotelli 64 5.5)
Subs not used: Jones (Gk), Toure, Markovic, Borini. Booked: Skrtel, Gerrard
Goals: Lallana 45, Henderson 61
Manager: Brendan Rodgers 6.5

West Brom (4-4-1-1):   Foster 6.5; Gamboa 6.5, Dawson 6, Lescott 6, Pocognoli 6; Brunt 5.5 (Samaras 86), Dorrans 6 (Mulumbu 71 5.5), Morrison 5.5 (Blanco 80), Gardner 5.5; Sessegnon 6; Berahino 7
Subs not used: Myhill (Gk), Baird, Yacob, McAuley. Booked: Dawson, Lescott
Goal: Berahino pen 56
Manager: Alan Irvine 6.5

Referee: Michael Oliver 6











Wachezaji wa Westbromwich albion wakishangilia goli lao lililopatikana kwa kwanjia ya penalt







 
FULU VIWANJA