Social Icons

Pages

Saturday, 16 August 2014

SUAREZ AANZA KUKAMUA MAZOEZI NA BARCELONA, NEYMAR NAYE KAMA KAWA


Baada ya adhabu ya Fifa kupunguzwa makali, Luis Suarez ameanza mazoezi na kikosi cha Barcelona.

Pamoja na Suarez kuanza mazoezi, mshambuliaji mwingine, Neymar, naye ameanza mazoezi na kikosi hicho, hali ambayo inaongeza matumaini kwa benchi la ufundi la Barcelona.

Aidha, kiungo Mcameroon, Alex Song ambaye ilielezwa anaweza kwenda England, naye ameonekana anajidai akiwa na wenzake wa Barcelona, mazoezini.




 
FULU VIWANJA