Social Icons

Pages

Saturday, 18 January 2014

COASTAL UNION ILIPOKUTANA NA WAARABU WAGUMU JANA MUSCAT

CHANZO CHA HABARI PICHA NA BINZUBERY.
Mshambuliaji wa Coastal Union ya Tanga, Atupele Green akiatoka mabeki wa Seeb Club ya Oman katika mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Seeb, Muscat, Oman, Timu hizo zilitoka 0-0.
Mshambuliaji Mganda wa Coastal, Yayo Lutimba aigombea mpira na beki wa Seeb
Beki wa Coastal akikabiliana na mshambuliaji wa Seeb
Mshambuliaji wa Coastal, Haruna Moshi 'Boban' akiwageuza wachezaji wa Seeb baada ya kurejea nyuma kusaidia ulinzi
Kiungo wa Seeb akItaabika na mpira pembeni ya Yayo Lutimba
Kiungo Mkenya wa Coastal akimtoka kiungo wa Seeb
Yayo Lutimba wa Coastal akimilik mpira mbele ya mabeki wa Seeb
Boban akifanya yake katikati ya wachezaji wa Seeb
Mshambuliaji Mtanzania, Elias Maguri aliye kwenye majaribio Seeb akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Coastal
Magwiji; Wachezaji wa zamani wa Tanzania waliohamia Oman baada ya kuchukuliwa nna klabu za huko walikocheza hadi kustaafu kwao, kutoka kulia ni Ahmad Amasha, Humud Esry, TalibHilal, Yussuf Abeid na Thuwein Ali walikuwepo leo Uwanja Seeb kuishuhudia Coastal
Kikosi cha Seeb, Elias Maguri wa kwanza kulia walioinama
Kikosi cha Coastal leo
 
FULU VIWANJA