Social Icons

Pages

Monday, 23 December 2013

ARSENAL, CHELSEA NGOMA NGUMU

LONDON, ENGLAND - DECEMBER 23:  Arsenal Groundsman Sion Bennett marks out the pitch in the rain before the match between Arsenal and Chelsea in the Barclays Premier League at Emirates Stadium on December 23, 2013 in London, England.  (Photo by David Price/Arsenal FC via Getty Images) *** Local Caption *** Sion Bennett 2013 The Arsenal Football Club PlcDAArsenal's photo.BI ya LONDON ilichezwa Emirates huku Jiji la London likikumbwa na Mvua kubwa na upepo mkali na Bigi Mechi hii iliyongojewa kwa hamu kati ya Arsenal na Chelsea kumalizika 0-0.
Matokeo haya yameibakisha Liverpool ikiwa bado kileleni wakifungana Pointi na Arsenal, wote wakiwa na 36, na Man City wakishishika Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 1 nyuma  huku Chelsea, waliofungana kwa Pointi na Everton, wakiwa Nafasi ya 4.
Ukiondoa shuti la Frank Lampard kupiga Posti Kipindi cha Kwanza hakuna Nafasi za wazi kabisa zilizotokea katika Mechi hii na iliwachukua Arsenal hadi Dakika ya 85 kupiga moja ya Mashuti yao mawili tu yaliyolenga Goli katika Mechi nzima.
 
FULU VIWANJA